Tangaza Biashara yako na Hundred Radio

Fikia maelfu ya watu kwa kutangaza biashara yako nasi hapa, wasiliana nasi ili kuweza kutangaza nasi. Karibuni wote

Hundred Radio Online

The best Online Radio in Tanzania and all over the World. Keep Listening everyday.

Pata Modem za Vodacom

Pata Modem za Vodacom kwa Tsh 25,000/= tu na upate kifurushi cha 5GB

Fly Safe with Fast Jet

For affordable price Fly with fast Jet in various regions in Tanzania.

Be A Sponsor

Contact us if u want to be one of our sponsors.

Monday, August 10, 2015

Maelfu wamsindikiza Lowassa kuchukua fomu NEC


Aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa amechukua Fomu rasmi ya kugombea urais kupitia tiketi ya Chadema.

Mwanasheria wa Chadema, Tundu Lissu amesema baada ya kuchukua fomu hizo Lowassa atakuwa tayari kuzunguka nchi nzima kujitambulisha kwa wananchi kama mgombea rasmi wa Chadema.
Lissu amesema uamuzi wa kumsimamisha mgombea huyo haukuwa wa kukurupuka bali umefuata uchunguzi wa muda usiopungua miezi mitatu na kujiridhisha kuwa Lowassa anafaa kuwa mgombea urais chini ya chama hicho.
Amesema katiba ya Tanzania inasema pamoja na mambo mengine mtu pakee anayezuiwa kugombea urais ni yule aliyekutwa na hatia na Mahakama ndani ya kipindi cha miaka mitano, hivyo Chadema imepekua Nyaraka zote za kimahakama nchini na kujiridhisha kwamba Lowassa hana hatia yoyote inayoweza kumzuia kugombea nafasi ya urais.

Source: BBC Swahili